Podcasts by Category
- 2214 - Marekani: Mamlaka za Baltimore zasitisha shughuli za kutafuta manusura wa ajali ya meli - Machi 27, 2024
Gavana wa Jimbo la Maryland, Wes Moore, ameweka wazi kuwa hapakuwa na kitendo chochote cha kigaidi baada ya daraja kuu katika mji wa Baltimore kubomoka Jumanne asubuhi wakati meli iliyobeba mizigo kugonga nguzo yake.
Wed, 27 Mar 2024 - 29min - 2213 - Senegal: Bassirou Faye aahidi wananchi kwamba ataongoza kwa unyeyekevu na uwazi - Machi 26, 2024
Mgombea urais kwa tikiti ya upinzani wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, mgeni kisiasa, lakini ambaye ni maarufu miongoni mwa vijana wasioridhishwa na utawala uliopo, aliahidi Jumatatu kutawala kwa unyenyekevu na uwazi, wakati akisubiri kutangazwa kuwa rais ajaye.
Tue, 26 Mar 2024 - 29min - 2212 - Kura zaendela kuhesbiwa Senegal huku wafuasi wa mgombea kwa tikiti ya upinzani wakishangilia "ushindi" mitaani - Machi 25, 2024
Hesabu za kwanza katika vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa rais uliocheleweshwa nchini Senegal Jumapili zinaonyesha mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye akiongoza. Wafuasi wake walianza kusherekea mitaani baada ya siku ya amani ya uchaguzi ambayo wengi wanatumaini utaleta mabadiliko.
Mon, 25 Mar 2024 - 30min - 2211 - DRC, nchi yenye maji mengi na misitu mikubwa lakini raia bado wanakabiliwa na uhaba wa maji - Machi 22, 2024Fri, 22 Mar 2024 - 30min
- 2210 - Miji mikubwa ya DRC inakabiliwa na joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa - Machi 21, 2024Thu, 21 Mar 2024 - 29min
- 2209 - Madereva wa mabasi nchini Kenya kufanya tena mtihani wa kuendesha gari - Machi 20, 2024Wed, 20 Mar 2024 - 30min
- 2208 - DRC na China zaingia makubaliano ya uwekezaji wa dola bilioni 7 kwenye sekta ya miundombinu - Machi 19, 2024Tue, 19 Mar 2024 - 29min
- 2207 - EU na Misri waingia makubaliano ya Euro bilioni 7.4 kuzalisha nishati na kukabiliana na uhamiaji - Machi 18, 2024Mon, 18 Mar 2024 - 30min
- 2206 - Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waanza kuondoka Haiti huku hali ya sintofahamu ikitanda - Machi 15, 2024
Umoja wa Mataifa umeanza kuwaondowa wafanyakazi wake wasio na majukumu muhimu nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia na ukosefu wa usalama katika taifa hilo la Caribean.
Fri, 15 Mar 2024 - 29min - 2205 - Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024
Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jumatano liliidhinisha mswada, wa kuilazimisha programu maarufu ya mtandao wa kijamii, TikTok, kujitenga na kampuni mama, inayomilikiwa na China, ya ByteDance au kuuza sehemu ya programu hiyo kwa Marekani.
Thu, 14 Mar 2024 - 29min - 2204 - Mchakato wa Kenya kutuma polisi Haiti wasitishwa hadi uongozi wa kisiasa uimarike - Machi 13, 2024Wed, 13 Mar 2024 - 29min
- 2203 - Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab - Machi 12, 2024
Afisi ya Wizara ya Fedha ya Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.
Tue, 12 Mar 2024 - 30min - 2202 - Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024Mon, 11 Mar 2024 - 29min
- 2201 - Rais Joe Biden asifu mafanikio ya utawala wake miezi michache kabla ya uchaguzi wa rais - Machi 08, 2024Fri, 08 Mar 2024 - 29min
- 2200 - Wamiliki wa shule binafsi nchini Tanzania walalamikia kodi kubwa - Machi 07, 2024Thu, 07 Mar 2024 - 30min
- 2199 - Biden na Trump waongoza bila pingamizi katika uchaguzi wa mchujo, maarufu Super Tuesday - Machi 06, 2024Wed, 06 Mar 2024 - 30min
- 2198 - Marekani ina matumaini kuwa sitisho la mapigano katika vita vya Gaza linaweza kupatikana kabla ya Ramadhani - Machi 05, 2024Tue, 05 Mar 2024 - 29min
- 2197 - Makamanda wa majeshi ya SADC wakutana kujadili mbinu za kupambana na waasi wa M23 - Machi 04, 2024Mon, 04 Mar 2024 - 30min
- 2196 - Afrika Mashariki yamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyeaga dunia Alhamisi - Machi 01, 2024
Ali Hassan Mwinyi, ambaye katika awamu mbili kama rais wa Tanzania alisimamia kuanzishwa kwa demokrasia ya vyama vingi na kuanzishwa kwa uchumi huria, amefariki akiwa na umri wa miaka 98.
Fri, 01 Mar 2024 - 30min - 2195 - Marekani yakosoa vikali mswada unaotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsia moja Ghana - Februari 29, 2024
Marekani Jumatano ilisema "imefadhaishwa mno" na kupitishwa kwa mswada wa sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, na bunge la Ghana, na kuhimiza utathminiwe upya, ili kubaini kama unafuata katiba ya nchi hiyo.
Thu, 29 Feb 2024 - 29min - 2194 - Watu 31 wafariki katika ajali ya barabarani nchini Mali - Februari 28, 2024
Watu 31 walifariki nchini Mali Jumanne na wengine 10 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa linasafiri kuelekea Burkina Faso lilipoanguka kutoka kwenye daraja kusini mashariki mwa nchi hiyo, wizara ya uchukuzi ilisema.
Wed, 28 Feb 2024 - 30min - 2193 - Hatimaye Hungary yaidhinisha Sweden kujiunga na NATO - Februari 27, 2024
Sweden inatarajiwa kujiunga rasmi na NATO katika siku au wiki zijazo, baada ya Hungary hatimaye kutoa idhini yake siku ya Jumatatu – mwanachama wa mwisho kufanya hivyo.
Tue, 27 Feb 2024 - 29min - 2192 - ,Maoni mseto baada ya ECOWAS kuiondolea vikwazo serikali ya kijeshi ya Niger - Februari 26, 2024
Jumuiya ya kiuchumi ya Ukanda wa Afrika Magharibi, ECOWAS, Jumamosi iliondoa baadhi ya vikwazo ilivyokuwa imeiwekea Nige,r baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwaka jana, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.
Mon, 26 Feb 2024 - 30min - 2191 - Rais wa Senegal athibitisha kuwa muhula wake utakamilika Aprili 2 - Februari 23, 2024Fri, 23 Feb 2024 - 30min
- 2190 - Wapinzani 15 wa Macky Sall wa Senegal wamtaka atangaze uchaguzi wa rais haraka - Februari 22, 2024
Wagombea 15 kwenye uchaguzi ulioahirishwa nchini Senegal wamemshtumu Rais Macky Sall kuwa na nia mbaya na wameapa kuchukua hatua kuhakikisha tarehe mpya ya uchaguzi inatangazwa kwa haraka.
Thu, 22 Feb 2024 - 30min - 2189 - Wauzaji na wakulima wa miraa nchini Uganda walalamikia sheria mpya ya dawa za kulevya - Februari 21, 2024Wed, 21 Feb 2024 - 29min
- 2188 - Russia inaweza kuteka miji ya Ukraine ikiwa Marekani itachelewa kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine-mchambuzi - Februari 20, 2024Tue, 20 Feb 2024 - 30min
- 2187 - Rais Samia azindua sanamu la Julius Nyerere kwenye makao makuu ya AU, mjini Addis Ababa - Februari 19, 2024Mon, 19 Feb 2024 - 29min
- 2186 - Wakenya walalamikia kupanda kwa gharama ya maisha licha ya thamani ya sarafu ya nchi hiyo kuimarika - Februari 16, 2024Fri, 16 Feb 2024 - 29min
- 2185 - Israel yaishtumu Vikali Afrika Kusini baada ya kuwasilisha shitaka jingine kwenye Mahakama ya kimataifa ya haki - Februari 15, 2024Thu, 15 Feb 2024 - 30min
- 2184 - Wachezaji wa timu ya soka ya Ivory Coast wapewa zawadi nono ya pesa na nyumba za kifahari baada ya kushinda AFCON - Februari 14, 2024
Wachezaji wa timu ya taifa ya soka ya Ivory Coast na kocha wao Emerse Fae walizawadiwa pesa na nyumba za kifahari katika hafla iliyosimamiwa na Rais wa nchi hiyo Jumanne kusherekea ushindi wao katika fainali ya kombe la mataifa barani Afrika.
Wed, 14 Feb 2024 - 29min - 2183 - Babaka mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya ataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha kifo chake - Februari 13, 2024
Akizungumza na waandishi wa habari, babake mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya alieleza mashaka kuhusu ripoti ya jinsi ajali ya barabarani ilivyomuua mwanawe na akataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha ajali hiyo.
Tue, 13 Feb 2024 - 29min - 2182 - Shangwe na vigelegele baada ya Ivory Coast kushinda fainali za Afcon - Februari 12, 2024
Sebastien Haller alifunga bao la ushindi dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika wenyeji Ivory Coast wakinyakua taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan Jumapili (Februari 11).
Mon, 12 Feb 2024 - 30min - 2181 - Hali ya wasi wasi yaendelea kutanga karibu na mji wa Goma kutokana na mapigano makali kati ya jeshi la serikali ya DRC, na M23. - Februari 09, 2024Fri, 09 Feb 2024 - 30min
- 2180 - Umoja wa Mataifa, Unicef na WHO washirikiana katika kutuo chanjo kwa ajili ya kupambana na mlipuko wa kipindupindu Zimbabwe - Februari 08, 2024Thu, 08 Feb 2024 - 29min
- 2179 - Mamia ya watoto hawajulikani walipo baada ya kutenganishwa na wazazi wao, kufuatia mapigano makali kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 - Februari 07, 2024Wed, 07 Feb 2024 - 30min
- 2178 - Umoja wa Mataifa waomba kushirikishwa kwenye harakati za kurejesha usalama mashariki mwa Congo, na hasa dhidi ya kundi la M23 - Februari 06, 2024Tue, 06 Feb 2024 - 30min
- 2177 - Marekani yaapa kuendelea kushambulia washirika wa Iran wanaovuruga safari za meli kwenye bahari ya Sham - Februari 05, 2024Mon, 05 Feb 2024 - 30min
- 2176 - Mlipuko mkubwa waripotiwa mjini Nairobi - Februari 02, 2024Fri, 02 Feb 2024 - 30min
- 2175 - Raia wa Rwanda watahadharishwa kuwa makini na watu wanaojihusisha na biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu. - Februari 01, 2024
Raia wa Rwanda watahadharishwa kuwa makini na watu wanaojihusisha na biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu.
Thu, 01 Feb 2024 - 29min - 2174 - Jinsi wakimbizi kutoka Somalia wanatarajia kufaidika kutokana na nchi yao kuingia kwa jumuiya ya Afrika Mashariki - Januari 31, 2024
Mchambuzi wa masuala ya usalama aeleza jinsi wakimbizi kutoka Somalia wanatarajia kufaidika kutokana na nchi yao kuingia kwa jumuiya ya Afrika Mashariki
Wed, 31 Jan 2024 - 29min - 2173 - Serikali ya Kenya yakosa kutimiza ahadi kwamba wanafunzi wote wa shule za msingi wangeingia sekondari - Januari 30, 2024Tue, 30 Jan 2024 - 29min
- 2172 - Niger, Mali na Burkina Faso zatangaza kujiondoa kwenye shirika la ECOWAS - Januari 29, 2024Mon, 29 Jan 2024 - 29min
- 2171 - Wananchi wa Namibia wazungumzia kuhusu Rias wao kupelekwa Marekani kwa matibabu maalum - Januari 26, 2024Fri, 26 Jan 2024 - 30min
- 2170 - Alfajiri - Januari 25, 2024Thu, 25 Jan 2024 - 29min
- 2169 - Wachambuzi watoa maoni yao kufutia amri ya rais wa Tanzanzia kwamba vyombo vya usalama vijiweke sawa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao. - Januari 24, 2024Wed, 24 Jan 2024 - 29min
- 2168 - Marekani kufanya mkutano wa kimitandao na washirika wake Jumanne kuhusu utoaji wa misaada kwa Ukraine. - Januari 23, 2024Tue, 23 Jan 2024 - 30min
- 2167 - Mvua kubwa Mjini Dar es Saalam zaripotiwa kusababisha uharibifu mkubwa. - Januari 22, 2024Mon, 22 Jan 2024 - 30min
- 2166 - Somalia yakataa kufanya aina yoyote ya mazungumzo na Ethiopia hadi mkatakaba wenye utata uvunjwe. - Januari 19, 2024
Somalia yakataa kufanya aina yoyote ya mazungumzo na Ethiopia kuhusu mkataba wa Addis Ababa na eneo la Somalia lililojitenga la Somaliland, hadi mkatakaba wenye utata, kati ya Ethiopia na Somaliland, uvunjwe.
Fri, 19 Jan 2024 - 30min - 2165 - Umoja wa Mataifa watoa wito kwa vyombo vya usalama vya Comoros kutotumia nguvu vinapopambana na waandamanaji wenye gadhabu - Januari 18, 2024
Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa vikosi vya usalama vya Comoros kutotumia nguvu vinapopambana na waandamanaji wenye hasira, baada ya tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kumtangaza Rais Azali Assoumani mshindi wa uchaguzi wa Januari 14.
Thu, 18 Jan 2024 - 29min
Podcasts similar to Alfajiri - Voice of America
- El Partidazo de COPE COPE
- Herrera en COPE COPE
- The Dan Bongino Show Cumulus Podcast Network | Dan Bongino
- Es la Mañana de Federico esRadio
- La Noche de Dieter esRadio
- Hondelatte Raconte - Christophe Hondelatte Europe 1
- Dateline NBC NBC News
- 財經一路發 News98
- La rosa de los vientos OndaCero
- Más de uno OndaCero
- La Zanzara Radio 24
- Les Grosses Têtes RTL
- L'Heure Du Crime RTL
- El Larguero SER Podcast
- Nadie Sabe Nada SER Podcast
- SER Historia SER Podcast
- Todo Concostrina SER Podcast
- 安住紳一郎の日曜天国 TBS RADIO
- TED Talks Daily TED
- アンガールズのジャンピン[オールナイトニッポンPODCAST] ニッポン放送
- 辛坊治郎 ズーム そこまで言うか! ニッポン放送
- 飯田浩司のOK! Cozy up! Podcast ニッポン放送
- 吳淡如人生實用商學院 吳淡如
- 武田鉄矢・今朝の三枚おろし 文化放送PodcastQR