Nach Genre filtern

Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

RFI Kiswahili

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

823 - Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka
0:00 / 0:00
1x
  • 823 - Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

    Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama  la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka.

    Hakuna sababu maalumu zilizotolewa na serikali ya Somalia, hapa tunakuuliza je ni sahihi kwa ujumbe huu wa umoja wa mataifa  kuondoka kipindi hiki nchi hiyo ikizidi kupitia changamoto za kiusalama?

     

    Haya hapa baadhi ya maoni yako.

    Wed, 15 May 2024
  • 822 - Ujuzi au vyeti, serikali ya Kenya inawasaka wafanyakazi waliotumia vyeti ghushi kupata ajira

    Serikali ya Kenya inaendesha uchuguzi kuhusiana na madai ya baadhi ya wafanyakazi wake kumiliki vyeti ghushi, walivyotumia kupata ajira.

    Unafaikiri mtu anapaswa kuajiriwa kutokana na vyeti  vyake au ujuzi wa kazi ?

    Nchini mwako ajira hutolewa vipi ?

    Haya hapa baadhi ya maoni yako.

    Tue, 14 May 2024
  • 821 - Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa

    Kongamano la kwanza la mashirika ya kiraia la Umoja wa Mataifa limekamilika jijini Nairobi wiki iliyopita, huku wito wa mazungumzo ya uwazi na ukweli kati ya serikali na mashirika hayo ukisisitizwa.

    Upi mchango wa mashirika ya kiraia kwenye nchi zetu?

    Unadhani yamefanya vya kutosha kuzisaidia jamii na kuchochea maendeleo?

    Kipi zaidi kifanyike kuboresha uhusiano kati yake na Serikali?

     

    Ski makala

    Mon, 13 May 2024
  • 820 - Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki

    Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.

    Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?

    Hali ikoje nchini mwako?

    Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?

    Tue, 07 May 2024
  • 819 - Maoni ya msikilizaji kuhusu yaliojiri nchi mwake wiki hii
    Tue, 07 May 2024
Weitere Folgen anzeigen