Filtrar por gênero

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na kukuza mabadilishano na usaidizi kati ya kila redio. Familia ya Ulimwengu inadumisha mahusiano ya mara kwa mara ya taarifa na Baraza la Kipapa la Mawasiliano ya Kijamii la Kiti Kitakatifu

519 - Roho Mtakatifu ni nani katika maisha yetu?
0:00 / 0:00
1x
  • 519 - Roho Mtakatifu ni nani katika maisha yetu?

    Karibu ungane nami Elizabeth Masanja,  katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akizungumzia Zawadi ya Roho Mtakatifu katika maisha yetu.

    Wed, 15 May 2024 - 50min
  • 518 - Je, wafahamu Ubikira wa Milele wa Bikira Maria?

    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Franco Abel Ubamba , kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea,  Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema naomba kujua juu ya Ubikira wa milele wa Maria.

    Wed, 15 May 2024 - 26min
  • 517 - Ni, tofauti ipi iliyopo kati ya dhambi ya Mauti na dhambi isiyo ya Mauti?

    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Samson Peter Tibianus, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea,  Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini tofauti ya Dhambi ya mauti na dhambi  isiyo ya mauti kadiri ya mafundisho ya Kanisa Katoliki?

    Wed, 15 May 2024 - 23min
  • 516 - Fahamu namna ya Utandawazi unavyo leta tija na faidi katika Jamii.

    Ungana na Mtangazji Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, kinacho andaliwa na Padre Innocent Bahati kutoka Chuo kikuu cha Nelson Mandela   Jimbo kuu la Arusha, mada inayozungumziwa ni muendelezo mwa mada ya Utandawazi.

    Fri, 10 May 2024 - 53min
  • 515 - Kwanini Kanisa Katoliki lilianzisha Jumuiya ndogondogo za Kikristo?

    Kariba uungane na Mtangazaji Agatha Kisimba katika kipindi  cha Utume wa Walei, Wawezeshaji na Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam akiwemo, Walimu  Damian Moses Ndimbo, Veran Mushi, Eleutery Kobelo na , mada iliyopo kwa leo ni Kristo mfufuka na Jumuiya ndogondogo za Kikikristo.

    Fri, 10 May 2024 - 55min
Mostrar mais episódios