Podcasts by Category
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
- 220 - Maoni ya washiriki katika kongamano la idhaa za kiswahili duniani sehemu ya mwisho
Ni jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, na leo tunahitimisha mlolongo wa Makala kuhusu kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika huko Mbeya, na kwenye le parler francophone nakuletea ratiba ya shughuli za kitamaduni kutoka Alliance Francaise ya Arusha na Nairobi, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki King Kaka kutoka nchini Kenya.
Sun, 21 Apr 2024 - 219 - Sehemu ya tatu ya Makala kuhusu kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani
Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi. Na kwenye le parler francophone nitakuletea mradi wa Creation Afrika unaonadaliwa na Allliance francaise ya Nairobi
Sun, 14 Apr 2024 - 218 - Kongamano la idhaa za kiswahili duniani, umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman mwenye asili ya Burundi anaefanya kazi yake huko Sweeden.
https://www.youtube.com/watch%3Fv%3DdsIZZ0MmadE
Tue, 09 Apr 2024 - 217 - Kongamano la nne la idhaa za kiswahili duniani "Tasnia ya habari na ubidhaishaji Kiswahili duniani"
Karibu kuungana nami katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambyo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea sehemu ya kwanza ya mazungumzo kuhusu Kongomano la nne la idhaa za Kiswahili duniani. Kwenye le Parler francophone nitakueleza ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance francaise ya Nairobi na Dar es salaam. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Idd Aziz kutoka nchini Kenya.
Sun, 31 Mar 2024 - 216 - Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa sehemu ya piliMon, 25 Mar 2024
- 215 - Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa
Makala maalum ya changu chako chako changu inafanyika hapa Mombasa pwani ya Kenya katika luktadha wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa, inayofahamika Kama La Francophonie, ambapo Taasisi inayofundisha watu lugha hii na tamaduni za Ufaransa, Alliance Francaise ya Mombasa, imeandaa maadhimisho haya maalum kwa kuenzi namna ambavyo Francophonie inavyotia fora nchini DRC. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka moja kwa moja akiwa Alliance francaise ya Mombasa
Wed, 20 Mar 2024 - 213 - Historia ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani na namna ilivyosherehekewa mwaka huu wa 2024Sat, 09 Mar 2024
- 212 - Maandalizi ya siku ya wanawake duniani ya March 08Sat, 09 Mar 2024
- 211 - Umuhimu wa kujifunza lugha mama na changamoto zake katika maisha ya kila sikuSun, 25 Feb 2024
- 210 - Historia ya kombe la mataifa bingwa barani Afrika CAN sehemu ya piliSat, 24 Feb 2024
- 209 - Historia ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika CAN sehemu ya kwanza
Karibu kuungana naye Ali Bilali katika Makala ya leo Changu chako chako changu, ambapo anakuletea historia ya kombe la mataifa ya afrika na atiba ya shughuli kutoka Alliance francaise za ukanda na kwenye muziki atakuletea historia fupi ya mwanamuziki rapa kutoka nchini Kenya King Kaka. Kumbuka pia kumfolow kwa instagram
Thu, 15 Feb 2024 - 208 - Historia na tamaduni za watu wa kabila la wanyamwezi na msanii Miraculos Lop kutoka Burundi
Habari za asubuhi msikilizaji wa RFI Kiswahili na mpenzi wa Makala Changu Chako Chako changu, makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler franxophone na Muziki ambapo leo nimekuandalia Historia na utamaduni wa watu wa kabila la Wanyamwezi, nitakuletea pia mwanamukuzi Miraculos kutoka nchini Burundi Mimi naitwa Ali Bilali mtangazaji asiependa makuu. Karibu ama bienvenue.
Usikosi pia kumfollow @billy_bilali
Sat, 03 Feb 2024 - 207 - Kumbukumbu ya historia ya mwanaharakati mtetezi wa uhuru nchini DRC Emery Patrice Lumumba
Katika Makala haya, mwanahabari wako Ali Bilali anarejelea historia ya mwanaharakati mtetezi wa Uhuru wa DRC Emery Patrice Lumumba aliezaliwa Julay 2 1925 alifariki Januari 17 mwaka 1961.
Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali
Tue, 30 Jan 2024 - 206 - Utamaduni wa watu wa kabila la wabembe na mwanamuziki Naza kutoka Ufaransa
Makala haya Changu chako Chako Changu, Ali Bilali mtangazaji wako asipenda makuu amezungumza na Mzee Ebengela Saleh kuotka huko mashariki mwa DRC kuzungumzia kuhusu Historia na Tamaduni za watu wa Kabila la Wabembe. Utapata pia kumfahamu mwanamuziki kutoka Ufaransa mwenye asili ya DRC na Congo Brazaville Naza. Ambatana na mtangazaji wako na usikosi kumfollow kwa Instagram kwa kubonyeza hapa. @billy_bilali
https://www.instagram.com/billy_bilali/
Tue, 30 Jan 2024 - 205 - Historia ya siku ya kuwakumbuka mashujaa nchini DRC na Mwanamuziki TayC
Katika Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhusu siku ya kuwambuka watu waliotoa mchango wao katika harakati za ukombozi ambapo kila januari 4 ni siku ya kuwakumbuka wapambanaji hao waliochangia katika ukombozi wa nchi
Usikosi pia kumfollow mwanahabari wako Ali Bilali kwa Instagram @billy_bilali
Tue, 30 Jan 2024 - 204 - Utamaduni wa kupenda kujifunza lugha na msanii kutoka Burundi Mistachampagne
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na vijana wanafunzi na waalimu wa lugha ya kifaransa kuangazia utamaduni wa kujifunza lugha hususan lugha ya Kifaransa, wakati kwenye kipengele cha Muziki amempokea mwanamuziki kutoka nchini Burundi Mistachampagne ambae anazuri jiji la Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki.
Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako asiependa makuu @billy_bilali
Sun, 28 Jan 2024 - 203 - Kumbukumbu ya Makala za mwaka 2023 alizokukusanyia Ali BilaliSat, 27 Jan 2024
- 202 - Historia ya kabila la Wadigo wa Kenya na Tanzania katika Makala Changu Chako na Florence Kiwuwa
Katika Makala haya,Florence Kiwuwa mtangazaji wa maswala ya Historia na utamaduni kutoka RFI Kiswahili anakuletea historia ya wadigo wa Kenya na Tanzania na kwenye le Parler francophone tutaangazia kuhusu maonyesho yake Dj Click katika ukumbi wa Alliance Francaise ya Arusha nchini Tanzania. Na kwenye Muziki tutamuangazia mwanamuziki Koffi Olomide kutokea DRC.
Tue, 28 Nov 2023 - 201 - Tamaduni za watu wa Katanga katika uchimbaji wa madini na msanii Masauti kutoka nchini Kenya
Ni furaha kubwa kukutana nawe kwa mara nyingine tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nitaungana na mwenzangu DENISE MAYO kukujuza kuhusu tamaduni za watu wa huko Katanga katika uchimbaji wa madini, kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba wa Alliance francaise za Ukanda na Institut Français ya Lubumbashi, kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Kutoka nchini Kenya Mohammed Ali Said, anaefahamika sana kama Masauti. Mimi ni Ali Bilali
Sun, 19 Nov 2023 - 200 - Utamaduni wa kabila la Wataita na mwanamuziki Hiro le Coq katika Makala haya ya leo.
Karibu mpenzi msikilizaji katika Makala ya leo Changu Chako Chako Changu, ambapo nakukumbusha historia na tamaduni ya watu wa kabila la wataita, na kwenye le parler francophone tutaangazia ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance France Francaise ya Nairobi, Dar es salaam, Arusha, na Institut francais ya Lubumbashi. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Hiro Le Coq rapa wa Ufaransa mwenye asili ya DRC. Mimi naitwa Ali Bilali bienvenue.
Mon, 13 Nov 2023 - 199 - Mwanahabari kutoka DRC ashinda Toleo ka kumi la tuzo Ghislaine Dupont na Claude Verlon
Makala haya yanazungumzia kuhusu tolea la 10 la tuzo ya Ghislaine Dupont na Claude Verlon ambalo hutolewa kila Novemba 02 ya kila mwaka na RFI ili kuwaenzi waandishi wa habari hao wawili waliofariki miaka 10 iliopita huko Kidal kaskazini mwa Mali baada ya kutekwa na wanajihadi, ambapo Joseph Kahongo wa (RDC) na Ange J. Agbla (Bénin) ndie washindi wa toleo hili la kumi. ambatana naye Ali Bilali kudahamu mengi zaidi.
Thu, 09 Nov 2023 - 198 - Historia ya siku ya kupinga dhulma dhidi ya wanahabari na utoaji wa tuzo ya Ghislaine Dupont
Leo Octoba 29 kwenye Makala Changu chako Chako Changu tunazungumzia kuhusu historia ya Siku ya Kimataifa ya Kukomesha Kutokujali kwa Uhalifu Uliotendwa dhidi ya Wanahabari ambayo huadhimishwa kila Novemba 2. Na kwenye le parler francophone kama kawaida nitakujuza nini kinachojiri kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi, Dar es Salaam na Arusha, na kwenye Muziki ninakuletea mwanamuziki Jay Melody kutoka nchini Tanzania. Bienvenue et Bon Dimanche, yaani Karibu na Jumapili njema.
Tue, 31 Oct 2023 - 197 - Siku ya kimataifa ya utamaduni nchini Kenya Octoba 10
Karibu msikilizaji katika makala haya changu chako chako changu Jumapili ya leo ambapo Jumapili ya leo tunazungumzia kuhusu siku ya kitaifa ya utamaduni nchini Kenya ambayo huadhimishwa kila Octoba 10. Na kwenye le parler francophone tutaangazia namna shughuli za kitamaduni zinavyo pamba moto kuelekea mwisho wa mwaka Alliance Francaise ya Arusha, Nairobi na Dar es salaam na kwenye Muziki nitaungana na mwenzangu Benson Waokoli kuzungumzia kumbukumbu ya kifo cha francois Lwambo Lwanzo Maki
Mon, 16 Oct 2023 - 196 - Hofu ya wananchi kuzuru Jumba la Makumbusho ya Kolwezi kisa uwepo wa mizimu
Ni furaha kubwa kukutana nawe kwa mara nyingine tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo naungana na mwenzangu Denise Maheho kukujuza kuhusu jumba la makumbusho la huko Kolwezi, na kwenye le parler francophone nitakujuza kuhusu shughuli za utamaduni kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi na Dar es salaam na kwenye Muzki nitakuletea mwanamuziki Diamond Plantnumz ambae juma hili ameadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Mon, 09 Oct 2023
Podcasts similar to Changu Chako, Chako Changu
- Conversations ABC listen
- Global News Podcast BBC World Service
- El Partidazo de COPE COPE
- Herrera en COPE COPE
- The Dan Bongino Show Cumulus Podcast Network | Dan Bongino
- Es la Mañana de Federico esRadio
- La Noche de Dieter esRadio
- Dateline NBC NBC News
- 財經一路發 News98
- La rosa de los vientos OndaCero
- Más de uno OndaCero
- La Zanzara Radio 24
- El Larguero SER Podcast
- Nadie Sabe Nada SER Podcast
- SER Historia SER Podcast
- Todo Concostrina SER Podcast
- 安住紳一郎の日曜天国 TBS RADIO
- アンガールズのジャンピン[オールナイトニッポンPODCAST] ニッポン放送
- 辛坊治郎 ズーム そこまで言うか! ニッポン放送
- 飯田浩司のOK! Cozy up! Podcast ニッポン放送
- 吳淡如人生實用商學院 吳淡如
- 武田鉄矢・今朝の三枚おろし 文化放送PodcastQR
Other Society & Culture Podcasts
- Hondelatte Raconte - Christophe Hondelatte Europe 1
- L'Heure Du Crime RTL
- Affaires sensibles France Inter
- Parlons-Nous RTL
- Les histoires incroyables de Pierre Bellemare RTL
- C dans l'air France Télévisions
- La libre antenne - Olivier Delacroix Europe 1
- Au Cœur de l'Histoire - Des récits pour découvrir et apprendre l'Histoire Europe 1
- Les Récits extraordinaires de Pierre Bellemare Europe 1 Archives
- Faites entrer l'accusé RMC Crime
- Les pieds sur terre France Culture
- CRIMES • Histoires Vraies Minuit
- Confidentiel RTL
- Enquêtes criminelles RTL
- Le Coin Du Crime La Fabrique Du Coin
- Grand bien vous fasse ! France Inter
- Libre antenne week-end - Valérie Darmon Europe 1
- L’heure du crime : les archives de Jacques Pradel RTL
- Jour J RTL
- LSD, La série documentaire France Culture